Naomba kujuzwa mishahara ya HRM

Naomba kujuzwa mishahara ya HRM

Inatofautiana na taasisi mkuu kuna wanaolamba laki saba na uchafu, wapo laki nane, laki tisa mpk milion
 
Mm sijapata kazi ila wenzangu huko wanalipwa 650k
 
Back
Top Bottom