Naomba kujuzwa mishahara ya HRM

Inatofautiana na taasisi mkuu kuna wanaolamba laki saba na uchafu, wapo laki nane, laki tisa mpk milion
 
Mm sijapata kazi ila wenzangu huko wanalipwa 650k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…