Naomba kujuzwa muda wa mrejesho mikopo ya Amana Bank

Naomba kujuzwa muda wa mrejesho mikopo ya Amana Bank

Mama Peter

New Member
Joined
May 12, 2023
Posts
2
Reaction score
0
Naomba Kuuliza anaefahamu muda wa marejesho ya Mikopo ya Amana Bank Mfano nikichukua vifaa Vya ujenzi vyenye thamani ya m.20 Muda maximum wa kurejesha ni miaka mingapi?
 
Ungewapigia simu tu mama peter au ukatembelea tawi lao lolote lililo jirani na wewe

Hapa unaweza usipate majibu sahihi au ukapata ila si kwa wakati
 
Milioni 20 kwa mwaka mmoja , faida Yao ni asilimia 14
20000000×0.14 =2800000 faida Yao sasa milioni 20000000+28000000=22800000
Jumla kuu . Unachukua 22800000÷kwa miezi 12=1900000 ,marejesho kwa mwezi mkuu njoo inbox nitakuelewesha maana na Mimi ndio nachukulia hapo mkopo
 
Milioni 20 kwa mwaka mmoja , faida Yao ni asilimia 14
20000000×0.14 =2800000 faida Yao sasa milioni 20000000+28000000=22800000
Jumla kuu . Unachukua 22800000÷kwa miezi 12=1900000 ,marejesho kwa mwezi mkuu njoo inbox nitakuelewesha maana na Mimi ndio nachukulia hapo mkopo
Milioni 20 kwa mwaka mmoja , faida Yao ni asilimia 14
20000000×0.14 =2800000 faida Yao sasa milioni 20000000+28000000=22800000
Jumla kuu . Unachukua 22800000÷kwa miezi 12=1900000 ,marejesho kwa mwezi mkuu njoo inbox nitakuelewesha maana na Mimi ndio nachukulia hapo mkopo
What's up 0768038199
 
Milioni 20 kwa mwaka mmoja , faida Yao ni asilimia 14
20000000×0.14 =2800000 faida Yao sasa milioni 20000000+28000000=22800000
Jumla kuu . Unachukua 22800000÷kwa miezi 12=1900000 ,marejesho kwa mwezi mkuu njoo inbox nitakuelewesha maana na Mimi ndio nachukulia hapo mkopo
Hivi Amana Bank wanatoza Riba
 
Back
Top Bottom