Hamissi Hamza Jr
Senior Member
- Apr 16, 2020
- 103
- 209
Habarini za asubuhi wa JF,
Poleni na Msiba wa Taifa kwa kumpoteza aliyekuwa Rais wetu wa awamu ya Tano Hayatti Dr John Magufuli.
Naomba Kufahamishwa jinsi ya kuandika anuani ya makazi kwa wanaofahamu na wenye uzoefu na hayo mambo.
Naomba kuwasilisha.
Poleni na Msiba wa Taifa kwa kumpoteza aliyekuwa Rais wetu wa awamu ya Tano Hayatti Dr John Magufuli.
Naomba Kufahamishwa jinsi ya kuandika anuani ya makazi kwa wanaofahamu na wenye uzoefu na hayo mambo.
Naomba kuwasilisha.