Naomba kujuzwa namna ya kuondoa madoa kwenye nguo

Naomba kujuzwa namna ya kuondoa madoa kwenye nguo

Islam005

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2008
Posts
3,354
Reaction score
3,623
Wadau habari, kuna nguo niliimwagia wine na nyingine nilikuwa nakata nyama ikadondokea damu sasa sikuzifua muda huo huo na baadaYe yale madoa hayatoki tena hata nikiloweka, nitumie nini?

Nguo bado ni mpya naona aibu kuzitupa.
 
1. Pasugue na kitunguu kilichokatwa Kisha fua na sabuni ya unga.

2. Pasugue na maji ya ndimu yaliyowekwa baking powder Kisha fua.

3. Paweke Colgate ikaukie, kesho yake fua na omo.

Zote zisiofanikiwa muone Mshana Jr
Thank me later.
 
1. Pasugue na kitunguu kilichokatwa Kisha fua na sabuni ya unga
2. Pasugue na maji ya ndimu yaliyowekwa baking powder Kisha fua.
3. Paweke Colgate ikaukie, kesho yake fua na omo.
Zote zisiofanikiwa muone Mshana Jr
Thank me later.
Duh haya nitajaribu
 
Back
Top Bottom