Naomba kujuzwa namna ya kuwatoa Wanachama wengine mliojisajili pamoja kwenye Kampuni

Naomba kujuzwa namna ya kuwatoa Wanachama wengine mliojisajili pamoja kwenye Kampuni

rovita

Member
Joined
Jul 11, 2023
Posts
17
Reaction score
7
Habari,

Tulifungua company tulikuwa tupo wanne. Ila now wawili wanataka kujitoa katk company.

NAOMB USHAURi JINSi YA KUWATOA WASISOMEKE KATKA REGISTRATION ZA BRELA.

Please ushauri
 
Inaonekana umetengenezewa memart na hukuchukua muda kuisoma! Memart ni katiba ya kampuni yenu na kuna articles zinaeleza namna ya kujitoa/kuwatoa au kupoteza sifa za shareholders na nini cha kufanya!

Kwa mfano (japo sijui mmewekaje though) kama wamelipia shea zao kampuni inaweza kuzinunua kwa kuwarushia pesa zao na kulipa kodi then kusajili brela mabadiliko. Kama hawajalipia na muda wa mliotoa kwa matazamio umepita unaforfeit tu shea maana hawana sifa tena then unasajili mabadiliko. Wanaweza pia wakauza shea zao kwa watu wengine km kampuni inavalue ya kuvutia wanunuzi na kama unataka watu wapya

Haya yote ni lazima yaende kutegemea memart inasemaje, huwezi kujiamulia tu kinyume chake hayatakubalika brela. Ukishaona namna then unaweka resolution mkutano wa kufanya changes na kuattach na fomu husika za brela

My 50cents
 
Habari,

Tulifungua company tulikuwa tupo wanne. Ila now wawili wanataka kujitoa katk company.

NAOMB USHAURi JINSi YA KUWATOA WASISOMEKE KATKA REGISTRATION ZA BRELA.

Please ushauri
Habari.
Kuna namna mbili zilizo maarufu na zinazotumika kwa kiasi kikubwa.
1. Forfeiture of shares. Hii hutumika mara nyingi hasa pale ambapo mtu mnayetaka atolewe anakua hajalipia shares zake na mara nyingi hufanywa mwaka wa kwanza wa kampuni na mambo huwa sio mengi. Ni mchakato wa kuandaa barua na resolutions. Katika njia hii huwa ni muhimu anayetolewa awe ameridhia maana BRELA huwa wanawapigia simu kuhakiki so ikitokea jamaa akagomea mchakato huo akiulizwa na mtu wa BRELA hiyo imekwama.

2. Sale of shares.
Hii mara nyingi hutokea pale ambapo tayari mtu mnayetaka atolewe anakua alishazilipia shares zake tayari. BRELA watahitaji mkataba wa mauziano ya shares pamoja na tax clearance ili kuonesha kuwa kodi zote za serikali zimelipwa pamoja na resolutions na forms za BRELA.

Pia, japo sio kwa umuhimu; endapo unahitaji kusajili kampuni, jina la biashara, trademarks, hivyo kuhitaji usaidizi katika documentation, TRA E-filing, drafting and online filing kwa gharama nafuu na haraka, usisite kuwasiliana nami.

+255755963775 calls/WhatsApp
 
Hapa kunamambo mengi ya kuangalia kwanza mimi sio hodari wa kuandika ingekuwa naweza weka sauti ningejaribu kuweka ili kila mmoja apate faida maana nimemaliza kufanya huu mchakato mwezi uliopita

Naomba unicheki 0712790639 nitakusaidia kwa ushauri
 
Hapa kunamambo mengi ya kuangalia kwanza mimi sio hodari wa kuandika ingekuwa naweza weka sauti ningejaribu kuweka ili kila mmoja apate faida maana nimemaliza kufanya huu mchakato mwezi uliopita

Naomba unicheki 0712790639 nitakusaidia kwa ushauri
Plz weka sauti kwa faida ya watu wote.....
 
Habari.
Kuna namna mbili zilizo maarufu na zinazotumika kwa kiasi kikubwa.
1. Forfeiture of shares. Hii hutumika mara nyingi hasa pale ambapo mtu mnayetaka atolewe anakua hajalipia shares zake na mara nyingi hufanywa mwaka wa kwanza wa kampuni na mambo huwa sio mengi. Ni mchakato wa kuandaa barua na resolutions. Katika njia hii huwa ni muhimu anayetolewa awe ameridhia maana BRELA huwa wanawapigia simu kuhakiki so ikitokea jamaa akagomea mchakato huo akiulizwa na mtu wa BRELA hiyo imekwama.

2. Sale of shares.
Hii mara nyingi hutokea pale ambapo tayari mtu mnayetaka atolewe anakua alishazilipia shares zake tayari. BRELA watahitaji mkataba wa mauziano ya shares pamoja na tax clearance ili kuonesha kuwa kodi zote za serikali zimelipwa pamoja na resolutions na forms za BRELA.

Pia, japo sio kwa umuhimu; endapo unahitaji kusajili kampuni, jina la biashara, trademarks, hivyo kuhitaji usaidizi katika documentation, TRA E-filing, drafting and online filing kwa gharama nafuu na haraka, usisite kuwasiliana nami.

+255755963775 calls/WhatsApp
Hiyo Point no 1, Kam kampuni ina miaka 3 imekaa je? Bcoz ndo naona njia simple.
 
rovita Kila mwaka kampuni inatakiwa kuwasilisha annual return huko BRELA na moja ya kiambatanisho huwa ni audited financial statement ambayo unaiwasilisha pia TRA.
Sasa hii report huwa ina taarifa nyingi kuwahusu wanachama so itategemeana na nini kilijazwa kwenye hizo reports za miaka yote ili kujua ni namna gani suala hilo litashughulikiwa.
1. Kama ilionekana shares za anayetakiwa kutoka zililipiwa basi njia itakayotumika ni kuuza/transfer of shares kwwnda kwa mtu au kampuni nyingine.
2. Kama ilionekana hakulipia ndio mtaendelea na forfeiture.
3. Kama taarifa za kuuhusu wanachama zipo kimya na kampuni imeonekana kutrade miaka hiyo yote huwa kuna presumption kuwa shares zililipiwa do mnahitaji kukomaa kidogo kutoka hapo.

Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom