Naomba kujuzwa sababu ya Oil kuingia kwenye Rejeta

Naomba kujuzwa sababu ya Oil kuingia kwenye Rejeta

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Wadau naomba kujua sababu kubwa inayosababisha gari yangu aina ya noah sr40, tatuzo oil inaingia kwenye rejeta na kuyafanya maji yote kuwa oil, lkn maji hayaendi kwenye sampo ya oil.

Tatizo hili lilipoanza nilifunga head gascket nyungine lkn tatizo liko pale pale. Naomba kwa wenye uelewa tafadhali.
 
Pole Sana Kwa Changamoto. Mafundi Wanakuja. Ila Sasa Hivi Usitumie Hiyo Gari Kuepuka Uharibifu
 
Engine block yako ina ufa na itakua inapitisha oili kidogo kidogo kwenda njia za maji ya kupoozea engine
 
Either cylinder head au engine block zina ufa hivyo kupelekea oil kuflow kuja kwenye njia za maji.

Pole kwa tatizo.
 
Daaah kumbe haya mambo yanawakutaga na wenye magari hayo nikajua ni yale ya zamani zamani tu hapo mkuu ni either cylinder head imepinda, block imetoboka, au oil cooler inakutu na kupelekea kupitisha oil kwenye block
 
Kama ndo hivyo kwa nini maji hayaendi kwenye sampo ya oil? Ikiwa oil inapenya kwenda kwenye maji, maji nayo si yangepenya kwenda kwenye sampo? Au labda mi ndo sielewi
 
Wadau naomba kujua sababu kubwa inayosababisha gari yangu aina ya noah sr40, tatuzo oil inaingia kwenye rejeta na kuyafanya maji yote kuwa oil, lkn maji hayaendi kwenye sampo ya oil.

Tatizo hili lilipoanza nilifunga head gascket nyungine lkn tatizo liko pale pale. Naomba kwa wenye uelewa tafadhali.
Mkuu

Kabla ya kuassume engine block au cylinder head ina Ufa fanya yafuatayo,

Kama ulibadilisha head gasket

Inamaanisha kuna mabaki Oil oil yalipita pita njia za maji wakati wa ufungaji na vivyo hivyo kuna mabaki ya maji yalipita njia za oil.

Sasa kwa oil hatwaeza ona ila kwenye maji utaona maana oil italelea juu ya maji sababu ni mafuta..

Suluhisho;

Ukifungua chochote kwa engine kitakachosababisha umwage coolant, kwa kuanzia weka maji kwanza kwa muda afu uwe unayadrain kuyamwaga kwa siku kadhaa ili itoe mabaki mabaki ya oil.. yaliochanganyika na maji
Ukishapata clear water ndo unamwaga afu unaweka coolant misha yaendelee.

Ingekuwa oil na maji vyachanganyikana kwa engine mzee ungeona miss kubwa sanah kwa gari na pia maji yangekuwa yanaisha kwa radiator na gari ingekuwa yatoa moshi mweupe kabisa

Natumani nimeelezea vizuri
 
Back
Top Bottom