Naomba kujuzwa sheria ya umiliki wa silaha

Naomba kujuzwa sheria ya umiliki wa silaha

Andres

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2013
Posts
502
Reaction score
815
Wakuu Habari za muda huo wako unaposoma hii

Ningependa kufahamishwa sheria na utaratibu wa kumiliki silaha kwa nchi ya Tanzania umekaeje kwa sasa ? Kwa mwenye uelewa wa hili, naomba maelezo mazuri tafadhali
 
Back
Top Bottom