International academy,ipo mikocheni,hii shule wanasoma wadogo zangu,mmoja miaka minne,mwingine kumi na nne,wako vizuri san hawa,wanawafundisha watoto mambo mengi,jins ya kutumia choo kwa ufasaha,adabu njema,jinsi ya name vitu,ni shule ambayo pia wema sepetu alisomaga,kwa kiingereza ndo mahali pake