General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Wakuu wangu nashida na sumu kali ya kuulia mbwa koko wanao zurura hovyo.
Wamenilitea madhara ya kula kuku na mayai pindi nikichelewa kufunga banda la kuku.
Na hata wamejeruhi watu kadhaa mtaani kwangu na mmoja kupelekea kifo.Wamekuwa tishio baada mbwao hao kutopatiwa chanjo na hata hawajulikani mwenyewe ni nani.
Nawasilisha kwa majibu asanteni.
Wamenilitea madhara ya kula kuku na mayai pindi nikichelewa kufunga banda la kuku.
Na hata wamejeruhi watu kadhaa mtaani kwangu na mmoja kupelekea kifo.Wamekuwa tishio baada mbwao hao kutopatiwa chanjo na hata hawajulikani mwenyewe ni nani.
Nawasilisha kwa majibu asanteni.