ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 327
Habari wataalamu,
Naomba mwenye ufahamu anisaidie kutofautisha hizi engine mbili za Harrier ili nifanye maamuzi yaliyo sahihi.
ACU35 - hii ni engine ya 4wheel drive. Nachohitaji kujua ni vitu viwili tu;
i. Je hii gari inazungusha tairi zote nne kila wakati au ina sensors ambazo zinafanya isukume diff ya nyuma pale inapokutana na utelezi wa tairi za mbele? Na kama ndio ina sensor, je dereva ana option ya ku'disable hio sensor ili gari isukume mbele pekee?
ii. Vipi ulaji wake wa mafuta ukifananisha na engine ya 2WD (ACU30)? Kama hii ya 4WD inakula zaidi mafuta ni kwanini au nini kinatofauisha hizi engine mbili wakati gani inatembea?
Kwa SUV ya Nissan nazielewa sana sababu ikiwa na 4WD basi lazima utakutana na button ambayo itakufanya utumie Four wheel pale unapohitaji kuitumia tu.
Nitashukuru sana kupata huu ufafanuzi.
Naomba mwenye ufahamu anisaidie kutofautisha hizi engine mbili za Harrier ili nifanye maamuzi yaliyo sahihi.
ACU35 - hii ni engine ya 4wheel drive. Nachohitaji kujua ni vitu viwili tu;
i. Je hii gari inazungusha tairi zote nne kila wakati au ina sensors ambazo zinafanya isukume diff ya nyuma pale inapokutana na utelezi wa tairi za mbele? Na kama ndio ina sensor, je dereva ana option ya ku'disable hio sensor ili gari isukume mbele pekee?
ii. Vipi ulaji wake wa mafuta ukifananisha na engine ya 2WD (ACU30)? Kama hii ya 4WD inakula zaidi mafuta ni kwanini au nini kinatofauisha hizi engine mbili wakati gani inatembea?
Kwa SUV ya Nissan nazielewa sana sababu ikiwa na 4WD basi lazima utakutana na button ambayo itakufanya utumie Four wheel pale unapohitaji kuitumia tu.
Nitashukuru sana kupata huu ufafanuzi.