luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Dar es Salaam
Nimeezeka na hayo mabati nilitaka alaf ila kipindi hicho sikufanikiwa niliendaa hadi Arusha material hayakuwepo, Kuna mtu Baki ambaye hana maslai na hiyo kampuni alinishauri kama nitaenda sehemu nyingn niende San bank in such walinipa warranty mwaka wa pili huu ni muda mchache kujudge ila yapo vilevile ...