Jizo33 New Member Joined Aug 8, 2023 Posts 1 Reaction score 0 Sep 22, 2023 #1 Naomba kujua utaratibu wa kuendesha ofisi ya welding na seremala kama boss si fundi wa hizo fani,jinsi ya kuwalipa welders na mafund wengne. (NB mashine na vifaa vingne vyote vya boss)
Naomba kujua utaratibu wa kuendesha ofisi ya welding na seremala kama boss si fundi wa hizo fani,jinsi ya kuwalipa welders na mafund wengne. (NB mashine na vifaa vingne vyote vya boss)
yusuph mketo New Member Joined Jun 29, 2019 Posts 1 Reaction score 0 May 21, 2024 #2 Inapendeza kama ukiwa na ujuz wa vyote au kimoja wapo nd itakua rahis kuendesha izo biashara