Nasubiria watu kutirika ila binasi nshawahi kuwauliza yani wao hawatoi ila benki ya kilimo inafanya kazi na NMB hivyo TADB ndo inafanya kuhakiki kama mkulima huyu/yule amekidhi vigezo vya kukopeshwa na ndipo kupitia TADB utapata mkopo wako NMB
Nasubiria watu kutirika ila binasi nshawahi kuwauliza yani wao hawatoi ila benki ya kilimo inafanya kazi na NMB hivyo TADB ndo inafanya kuhakiki kama mkulima huyu/yule amekidhi vigezo vya kukopeshwa na ndipo kupitia TADB utapata mkopo wako NMB