Habari wakuu,
Kwa yeyote anayefahamu utaratibu wa kupata VFD/API kutoka tra kwa ajili ya kutoa risiti naomba anijulishe kwa vile nimejaribu kuangalia kwenye tovuti yao sijaona utaratibu.
1.Vigezo vya kupata VFD
2.Documentation (ndio muhimu zaidi)
Anayefahamu naomba nipate utaratibu.
Kwa yeyote anayefahamu utaratibu wa kupata VFD/API kutoka tra kwa ajili ya kutoa risiti naomba anijulishe kwa vile nimejaribu kuangalia kwenye tovuti yao sijaona utaratibu.
1.Vigezo vya kupata VFD
2.Documentation (ndio muhimu zaidi)
Anayefahamu naomba nipate utaratibu.