Mwizi..anatumia silaha nyepesi mfn. Nondo. Kisu ila hapendi macho ya watu
jambazi anatumia silaha kubwa mfn bunduki na haogopi macho ya watu
kibaka anatumia chochote kilichopo jirani hasahasa ngumi. Mtama. Roba. Jiwe. Panga
Mwizi..anatumia silaha nyepesi mfn. Nondo. Kisu ila hapendi macho ya watu
jambazi anatumia silaha kubwa mfn bunduki na haogopi macho ya watu
kibaka anatumia chochote kilichopo jirani hasahasa ngumi. Mtama. Roba. Jiwe. Panga