boy 1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 414
- 395
Naomba kueleweshwa hapa ipi tofauti ya futi na sqm pale mtu anapokupimia eneo(kiwanja).
Mfano ukiambiwa eneo hili Lina ukubwa wa futi 60 kwa 60 ni sawa na sqm ngapi?
Mimi nimeshazoea sqm 400 najua ni 20 kwa 20 sasa haya Mambo ya futi 60 kwa 60 ni sawa na sqm ngapi?
Mfano ukiambiwa eneo hili Lina ukubwa wa futi 60 kwa 60 ni sawa na sqm ngapi?
Mimi nimeshazoea sqm 400 najua ni 20 kwa 20 sasa haya Mambo ya futi 60 kwa 60 ni sawa na sqm ngapi?