Naomba kujuzwa uwanja wa soka maeneo ya Mbezi Africana mwenye kujua

Dr Rutagwerera Sr

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
5,809
Reaction score
11,462
Habari wadau

Ninaomba mwenye kujua uwanja wa kuchezea mpira maeneo ya mbezi africana 'ambao upo active' watu wanakipiga kila siku jioni. Mimi ni mgeni huku, na ni mdau wa soka. Nina mpango wa kuhamia huko hivi karibuni. Msaada wenu tafadhali. Shukrani zangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…