Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,632
- 3,150
Wana jukwaa habari,
Poleni na corona ok any way twendeni kweny point.
Katika kujichanga changa kwangu kuna gari moja nataka ninunue inaitwa NISSAN ipo kama IST flani hivi inatumia umeme ina chajishwa aitumii mafuta hii gari nimeipenda sana wakuu.
Niliiona wakati nipo Dar, Upanga kuna mtu alipaki nikaipenda kweli kidogo kidogo ivi nilikuwa nataka ninunue. Je, ni shilingi ngapi? Mimi nina 8M niko mkoa wa Njombe, Makambako.
Yeyote anayeijua hii gari vizuri na bei yake na uimara wake na ninaweza ipataje.
121.
Poleni na corona ok any way twendeni kweny point.
Katika kujichanga changa kwangu kuna gari moja nataka ninunue inaitwa NISSAN ipo kama IST flani hivi inatumia umeme ina chajishwa aitumii mafuta hii gari nimeipenda sana wakuu.
Niliiona wakati nipo Dar, Upanga kuna mtu alipaki nikaipenda kweli kidogo kidogo ivi nilikuwa nataka ninunue. Je, ni shilingi ngapi? Mimi nina 8M niko mkoa wa Njombe, Makambako.
Yeyote anayeijua hii gari vizuri na bei yake na uimara wake na ninaweza ipataje.
121.