Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we nae sasa TAESA ni ya kupigia promo😂😂🤔Promotion thread
Yaani mpaka hapo MB zishatumika.
Sio hivyo tu, umepigiwa simu Ati ya kufanya Training-Unashindwaje, ama ulishindwaje kuomba maeleza kamili, kama Anwani ya TAESA. namba ya jengo, mtaa n.k
Najiuliza, mpaka unaitwa Training, ina maana ushaomba kazi? usaili? na uwezekano wa uwepo wa mawasiliano kati yako na TAESA ulikuwepo/Upo. Yaani umeshapigiwa na simu kabisa walakini umeshindwa kuulizia walipo....
Karibu JF. Ila sio kwa hizi Promo.
Acha hizo Njidi. Unajipigia promotion za ID mpya unaleta za kuleta😌.we nae sasa TAESA ni ya kupigia promo😂😂
..Nongwa Pro Max.🤔Promotion thread
Yaani mpaka hapo MB zishatumika.
Sio hivyo tu, umepigiwa simu Ati ya kufanya Training-Unashindwaje, ama ulishindwaje kuomba maeleza kamili, kama Anwani ya TAESA. namba ya jengo, mtaa n.k
Najiuliza, mpaka unaitwa Training, ina maana ushaomba kazi? usaili? na uwezekano wa uwepo wa mawasiliano kati yako na TAESA ulikuwepo/Upo. Yaani umeshapigiwa na simu kabisa walakini umeshindwa kuulizia walipo....
Karibu JF. Ila sio kwa hizi Promo.
ningekutukana ila nimeona Id kongwe bila shaka utakua mzeee 😂Acha hizo Njidi. Unajipigia promotion za ID mpya unaleta za kuleta😌.
Jibu hoja.
Ume tumia nguvu kubwa kumjibu unge mu ignore tuningekutukana ila nimeona Id kongwe bila shaka utakua mzeee 😂
mtoto wa watu hata kazi hajapata hata uhakika wa kuapta hana
(hiyo training ni mafunzo ya namna ya kufanya interview usitishike ukahisi labda anataka kuwashika majobless )
laiti ungewajua hao ma customer care wa TAesa wanaopiga simu kuwaita watu training wala usingeandika huo utumbi ulio andika
search TAESA humu alafu ndo uje hapa useme anaipa promo au ni kweli hajui
punguza negativity mjomba
Porojo nyingi si ungemwekeza tu🤔Promotion thread
Yaani mpaka hapo MB zishatumika.
Sio hivyo tu, umepigiwa simu Ati ya kufanya Training-Unashindwaje, ama ulishindwaje kuomba maeleza kamili, kama Anwani ya TAESA. namba ya jengo, mtaa n.k
Najiuliza, mpaka unaitwa Training, ina maana ushaomba kazi? usaili? na uwezekano wa uwepo wa mawasiliano kati yako na TAESA ulikuwepo/Upo. Yaani umeshapigiwa na simu kabisa walakini umeshindwa kuulizia walipo....
Karibu JF. Ila sio kwa hizi Promo.
Maneno meeeeeeengi🤔Promotion thread
Yaani mpaka hapo MB zishatumika.
Sio hivyo tu, umepigiwa simu Ati ya kufanya Training-Unashindwaje, ama ulishindwaje kuomba maeleza kamili, kama Anwani ya TAESA. namba ya jengo, mtaa n.k
Najiuliza, mpaka unaitwa Training, ina maana ushaomba kazi? usaili? na uwezekano wa uwepo wa mawasiliano kati yako na TAESA ulikuwepo/Upo. Yaani umeshapigiwa na simu kabisa walakini umeshindwa kuulizia walipo....
Karibu JF. Ila sio kwa hizi Promo.