Naomba Kujuzwa

MKONGORO

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
343
Reaction score
304
Wakuu Habarini Za Majukumu! Naombeni Mnijuze Kuhusu Sare Za Majeshi Ya Ulinzi Wa Mipaka Ya Nchi (Defence Forces) Kwanini Sare Za Nchi Zote Zina fanana (Mabaka-baka) Au Ni Moja Ya Sheria Za Umoja Wa Mataifa?
Wakuu Naombeni Elimu Hiyo.
Asante.
 
Iliamuliwa iwe hivyo. Kila mtu angeamua iwe anavyotaka yeye Dunia ingekuwa ni uwanja wa fujo.
 
Wakuu Habarini Za Majukumu! Naombeni Mnijuze Kuhusu Sare Za Majeshi Ya Ulinzi Wa Mipaka Ya Nchi (Defence Forces) Kwanini Sare Za Nchi Zote Zina fanana (Mabaka-baka) Au Ni Moja Ya Sheria Za Umoja Wa Mataifa?
Wakuu Naombeni Elimu Hiyo.
Asante.
Sare ilivyo , ni ngumu kuonekana wakiwa vitani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…