Naomba kujuzwa

Naomba kujuzwa

Chuck j

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
2,366
Reaction score
828
Kunamahali nafanya kz,wametangaza nafasi ya kz ya umeneja,mwanzo walikuwa wanapromot,(wanateua tuu wakitaka meneja kwa wafanyakazi waliopo,kigezo kikubwa unamuda mrefu kzn,. Lkn juzi wametangaza mwenye kujua anaweza aandike barua,. Nimekuwa mmoja wa wafanyakazi walioandika kuomba nafasi,2ko kama wanne hv,..ni maswali gani nitaulizwa? Na nijibuje? I think kesho ni siku ya intervew,kz za restaurant,
 
1.Watakuuliza utamchagua nani 2015
2.Je una mipango gani na nchi yako
3.Unataka mshahara kiasi gani
4.Utaifanyia nini kampuni
 
Mkuu, hiyo kazi ya kwanza kabla yakuwa promoted ktk imterview walikuuliza nini?
 
Waliniuliza mshahara tu sbb wanajua utendaji wangu wa kz,na nilipata kwa kuagiziwa na owner
 
Waliniuliza mshahara tu sbb wanajua utendaji wangu wa kz,na nilipata kwa kuagiziwa na owner

Chuck j, Kama mwanzo ulipata nafasi kwa maagizo ya owner basi na hiyo mwambie huyo owner kuwa unaihitaji ataagiza upewe.
Lakini angalia usipitilize ukaomba upewe nafasi nawe uwe owner.
Kwa heri.
 
Waliniuliza mshahara tu sbb wanajua utendaji wangu wa kz,na nilipata kwa kuagiziwa na owner

Wewe unaleta dhihaka hapa!! Kumbe mko wengi mnaoshikwa mikono na kuwekwa kwenye kiti!! Sasa si umwambie tu huyo owner akupe hiyo kazi au uwezo wako ndio umeishia hapo ulipo?
 
du kweli binadamu halidhiki inamaanisha kwamba kama wangekufanyia interview usingepita ukabebwa leo unataka kuwa meneja sasa utaweza kweli kuwafanyia wenzio interview?ukiwa kama meneja mwambie owner ukweli kwamba unataka kuwa meneja atakubeba tu kama mara ya kwanza au haziivi tena
 
Back
Top Bottom