Naomba kukaribishwa jamvini ili nami niweze shiriki kusoma na kuchangia hoja zilizokwenda shule ndani ya jamiiforums.
Nahisi kukosa uhondo uhondo mwingi kwa kuwa mtazamaji pasipo kuwa mchangiaji.
Muda umewadia nami nimejiunga rasmi mchana huu.naomba mnipokee