Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Sitaki kudanganya.nimemuonea you tube. Wewe je ulimshuhudia live?
Pele ni wa muda wote,mpaka Dunia hii itakapofutika na kuanza mpya nyingine na watu wa blue na njano.Kabla ya mwaka 2010 alikuwa ni Pele lakini kwa sasa ni Messi
Pele kwa sasa hamgusi messi hata kidogo..Pele ni wa muda wote,mpaka Dunia hii itakapofutika na kuanza mpya nyingine na watu wa blue na njano.
Pele kwa sasa hamgusi messi hata kidogo..
Edson Arantes do Nascimento known as Pele.
Ndio nimemuona akicheza.Umewahi kumwona akicheza hata mechi moja?
You mean CRISTIANO?CHRISTIANO
Huyo huyooo MnyamaaYou mean CRISTIANO?
Huyo level za kina NeymarHuyo huyooo Mnyamaa
umemuona Pele akicheza mechi gani
Miafrika mingine inamkubari kwa sababu mweusi mwenzetu.
AnatetemaMeddie kagere πππππ
Thread ikiishia hapa mtoa mada..Edson Arantes do Nascimento known as Pele.