Naomba kumfahamu Shamim Mwasha

Ila Wit tangia jana unakomaa sana eti watakata rufaa na watatoka.

Naomba tu nikuulize, kwann unawaonea huruma hivo?
Mkuu

Yule mama tu namuonea huruma na ni kwa ajili ya watoto wake so young yaan kukutana na malezi mengine[emoji22]

Hilo mkuu
 
Naskia yule mtoto wake mkubwa wa kike baba yake ni tajiri..alimwachia mapesa na bonge ya nyumba..nyumba ambayo WCB wana ofisi. Ni ya mtoto resty..nadhani anapata pesa hapo.
Sina uhakika lkn na mimi naskia tu
Kwahiyo mpunga unatoka hapo?

Mbona nasikia kaisha pokonywa kitambo jamaa alivyotoka segedansi?
 
Njoo tule bia hapa 5N mizigo Kama Kenya. Namsubir mamsapu kafuata pumba Tandale mashineni, tulianzishe Kerege
Bia? Sinywagi vinywaji vyenye rangi ya mende mimi

Nitafutie sparkling wine inaitwa frexnet from Nice, France
 
Bia? Sinywagi vinywaji vyenye rangi ya mende mimi

Nitafutie sparkling wine inaitwa frexnet from Nice, France
Njoo My love nitajitahd uipate hiyo wine yako. Ila ujue utalipia indirect
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…