Sorry beibiWe vipi? Mimi nimemjibu witnessj , we sijui umetokea wapi hebu sogea pembeni
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Ila Wit tangia jana unakomaa sana eti watakata rufaa na watatoka.Huyo ni noma[emoji848]
Ila hawa wakikata rufaa watachomoka
Upo wapi dear. Njoo Basi hapa 5N
Wit Ni bushlawyer huyo usimsikilize!Ila Wit tangia jana unakomaa sana eti watakata rufaa na watatoka.
Naomba tu nikuulize, kwann unawaonea huruma hivo?
5N ipo mkoa gani?Upo wapi dear. Njoo Basi hapa 5N
Mkoani Dar karibu5N ipo mkoa gani?
Ooh..mie nipo Bunda, ukuje hukuMkoani Dar karibu
MkuuIla Wit tangia jana unakomaa sana eti watakata rufaa na watatoka.
Naomba tu nikuulize, kwann unawaonea huruma hivo?
Kwahiyo mpunga unatoka hapo?Naskia yule mtoto wake mkubwa wa kike baba yake ni tajiri..alimwachia mapesa na bonge ya nyumba..nyumba ambayo WCB wana ofisi. Ni ya mtoto resty..nadhani anapata pesa hapo.
Sina uhakika lkn na mimi naskia tu
Bia? Sinywagi vinywaji vyenye rangi ya mende mimiNjoo tule bia hapa 5N mizigo Kama Kenya. Namsubir mamsapu kafuata pumba Tandale mashineni, tulianzishe Kerege
Wasira vp Hali Yake?Ooh..mie nipo Bunda, ukuje huku
Ha ha haSorry beibi
Huhuhuuuhuu[emoji16][emoji16]Upo wapi dear. Njoo Basi hapa 5N
Oh basi sawa.Moja ya Celebrity mwenye mafanikio nchini
Hahahahaha!![emoji38][emoji38]Sorry beibi
Njoo My love nitajitahd uipate hiyo wine yako. Ila ujue utalipia indirectBia? Sinywagi vinywaji vyenye rangi ya mende mimi
Nitafutie sparkling wine inaitwa frexnet from Nice, France
Ndio huyo namsubiria hapa kafuata pumba Tandale mashinenHa ha ha
Yule mke wako wa kerege aliyenenepeana kama kitomoto, juu mnene chini mwembamba hajambo?[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]