Lakini unajua side effects za madawa?? Vipi kuhusu familia ambazo (kama yeye mnasema hiyo biashara hakuwa anaifanya)/mumewe ameziharibu kwa hayo madawa??Mkuu
Yule mama tu namuonea huruma na ni kwa ajili ya watoto wake so young yaan kukutana na malezi mengine[emoji22]
Hilo mkuu
Ni balaaa tupu kitaa...ukifikiria hilo tuu unatamani hata waishie huko huko, unga mbaya jamaniLakini unajua side effects za madawa?? Vipi kuhusu familia ambazo (kama yeye mnasema hiyo biashara hakuwa anaifanya)/mumewe ameziharibu kwa hayo madawa??
Ahaaaaahaaaaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji16]Ndio huyo namsubiria hapa kafuata pumba Tandale mashinen
Teh teh teh we jamaa huwaga umevurugwaaNjoo My love nitajitahd uipate hiyo wine yako. Ila ujue utalipia indirect
Acha kabisa.. tuliokubwa na haya matatizo ya kuwaona marafiki wenye promising future wakipotea kwa sababu ya haya madawa wala hatuwaonei huruma kabisa.. Ni wauaji hawa watu..Ni balaaa tupu kitaa...ukifikiria hilo tuu unatamani hata waishie huko huko, unga mbaya jamani
Yupo ngangari kinomaWasira vp Hali Yake?
Atakuwa kalewa pombeHuyu mzee wa kerege anakuzingua tu[emoji16][emoji16]
Kakumiss
Hate sijui bana, mtaani kila mtu na story yake. Kumbe jamaa alikuwa jela, sikujuaKwahiyo mpunga unatoka hapo?
Mbona nasikia kaisha pokonywa kitambo jamaa alivyotoka segedansi?
Huyu resty kwanini hajakamatwa maana anauza kitimoto ila maisha hayaendani na kipato kuna Uzi alianzishiwa naona sukuhiz kawa mpole kapunguza show offLeo kala mvua za miaka yotee!wenzao kina rest wamepumzika na upendo mwalongo!
Yeah katoka juzi juzi tuHate sijui bana, mtaani kila mtu na story yake. Kumbe jamaa alikuwa jela, sikujua
Yes kumbe na we umeona eeh...kapunguza zile video zake za Hyatt, Dubai, South Africa na ngorongoro vacations[emoji848]Huyu resty kwanini hajakamatwa maana anauza kitimoto ila maisha hayaendani na kipato kuna Uzi alianzishiwa naona sukuhiz kawa mpole kapunguza show off
EtieeMoja ya Celebrity mwenye mafanikio nchini
Mwanaume mwenzio unamwita mrembooNimekumiss mrembo
Na hukumu hii hata ile biashara ya vipodozi anaweza kufunga chezea kunnyeea ndooHuyu resty kwanini hajakamatwa maana anauza kitimoto ila maisha hayaendani na kipato kuna Uzi alianzishiwa naona sukuhiz kawa mpole kapunguza show off
Mbeba mapochi atabeba nn Sasa? Vijana wa kichaga mmekuaje asee!Yes kumbe na we umeona eeh...kapunguza zile video zake za Hyatt, Dubai, South Africa na ngorongoro vacations[emoji848]
Itakuwa katonywa afanye kisirisiri
Hee ni mwanaume? Kuna poat alijinasibu ni mrembo that's whyMwanaume mwenzio unamwita mremboo
Kapunguza show off Sasa hiviNa hukumu hii hata ile biashara ya vipodozi anaweza kufunga chezea kunnyeea ndoo
Huyu resty ndo hufanya wanao hustle wajione wajinga na wakosefu, kumbe yeye ni anauza Ganda, ila hata akipunguza dawa yake yachemka wallah, hafu sijui kwanini huwa hawaachi show off hawa wajaYes kumbe na we umeona eeh...kapunguza zile video zake za Hyatt, Dubai, South Africa na ngorongoro vacations[emoji848]
Itakuwa katonywa afanye kisirisiri