Hiyo tu??? Yani wauza ngada wakubwa hivyo vitu vidogo sanahivi ni kweli alikuwa anaendesha Rang Rover?
Hivi walishiahukumiwa?Muuza ngada amepigwa mvua ya maisha yeye na mumewe. Usitamani maisha ya mwenzio aisee.
Hivi walishiahukumiwa?
Du, aiseeYes kifungo cha maisha yeye na mumewe
Tayari mzee na walikata Rufaa kesi ikapigwa chini hapo wanasubiri msamaha wa Rais tu. Wamelamba mvua ya maisha mtu na mkewe.Hivi walishiahukumiwa?
Picha pliz wengine ndio tunamsikia leoI love shamimu ni mcute hapendi blah blah namkubali sana hasa jicho lake ndo usiseme kumbe alishajifungua hongera zake