Hizo za juzi juzi 2017 ,alikuwa nazo za 2014 yaani FULL FLAT Screen,kaona noma zitamuumbua kafuta zote.
Ndio nani MkuuHiyo ngoma ya Mzee wa pasi.
Naukumbuka huo uzi niliweka picha zake zile za zamani za 2014 alivyokuwa wa kawaida FLAT Screen....Jana nimeenda kuangalia kafuta Zote kabakiza za 2017 baada ya kujidunga SILICONE.Ililetwa thread yake humu few months back, baada ya watu kuchambua shape yake ndo akafuta zote, ilikuwa kama posts 200+. Nikiipata hiyo thread ntaiweka hapa.
Video vixen, PoshyQueen adai hawezi kutokea kwenye video ya msanii wa Bongo bila milioni 5 - JamiiForumsNaukumbuka huo uzi niliweka picha zake zile za zamani za 2014 alivyokuwa wa kawaida FLAT Screen....Jana nimeenda kuangalia kafuta Zote.
Kademu kalikuwa Kembamba kweli kweli FLAT screen,ndani ya mwaka kamefutuka na TAKO na HIPS hilo kama ABNORMAL.
Kademu kalikuwa Kembamba kweli kweli FLAT screen,ndani ya mwaka kamefutuka na TAKO na HIPS hilo kama ABNORMAL.
Vzr umeweka wazi
Anafaa kwa matumizi
Kabisa anatanua soko lake.Anaboresha nyenzo za kazi.
Naomba kujua huyu ni nani? na je ni mtanzania? Kiufupi nataka habari zake huyu dada mana ndio kwanza nimembmui kwnye Instra. Anaonekanwa kama mashuhuri flani hivi ila sie wengine ni watu wakuchelewa tu. Kiufupi kanivuruga akili kwa hilo tako lake.
View attachment 953732View attachment 953733View attachment 953734View attachment 953735View attachment 953737
Risk Management gani atakayeenda kuisimamia wakati mwenyewe ka_take risk ya kujitia silicone mwilini?IFM Graduant 2018 insuarance and risk management
Wewe wala usihangaike....weka avatar ya mdada mwenye kalio...watakuja wenyewe.We acha tuuu mi ndiyo maana nataka nianze kushinda gym nitengeneze takooo
Hahahahahyan ulichokosea ni kuweka avata yenye mkundu mkubwa...vijana lazima waje dm, nan asiependa tako ??
Okay...basi karibu mbingu ya 9 shekhe.Nnachopenda kwa mwanamke mwenye makalio makubwa ni mitaro yao inakuwaga na kajasho fulani ambako huleta apataiti ya kupiga deki ndipo niingie kazini.
Kwa kweli napenda sana hadi najihisi nipo mbingu ya 9
Kachumvi fulani kwa mbalii [emoji7]
Afu sijamalizana na nyie pm mjueHeeh madam unatusema huku...[emoji23][emoji23]
@Madame B hivi Ule msambwanda wako bado upo naturally vile vile au kuna yasiyofaa yamefanyika??Wanaume wa Jf asilimia kubwa mnapenda sana wanawake wenye makalio makubwa ila akija shoga yenu mmoja kuponda wanawake wenye makalio...basi mashoga wooote mnajazana kwenye uzi wake kuwaponda wenye makalio wakati kutwa mko nasi Pm kuomba kutuona misambwanda yetu.
Mtapata tabu sana.
Hahahahah
Yaani maana naona mada nzima wananijadili mimi tu.
Aisee
kweli duniani uchawi upoNaukumbuka huo uzi niliweka picha zake zile za zamani za 2014 alivyokuwa wa kawaida FLAT Screen....Jana nimeenda kuangalia kafuta Zote kabakiza za 2017 baada ya kujidunga SILICONE.
Check Picha Alipiga July 2016 Alivyokuwa Flat Screen ila baada ya Mwaka Kafutuka Hips na Tako kama Lote.
View attachment 955430
Video vixen, PoshyQueen adai hawezi kutokea kwenye video ya msanii wa Bongo bila milioni 5 - JamiiForums