Naomba kumjua vizuri Mbunge Agness Marwa

not found 404

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2017
Posts
322
Reaction score
170
Hamjambo wanajamvi,

Kama heading inavyotanabaisha, naomba kumjua huyu mbunge mwenye sauti ya kuvutia bungeni, na safari yake ya kisiasa.

 
Reactions: BAK
Namkumbuka Agness, nmesoma nae elimu ya mcng ila baada ya hapo tulipita njia tofauti, na nmekuja tena kumuona ukubwani kwny harakati zake za siasa.... na ht hyo picha kapga magoti naukumbuka huo ukumbi wa MCC Musoma!
 
Namkumbuka Agness, nmesoma nae elimu ya mcng ila baada ya hapo tulipita njia tofauti, na nmekuja tena kumuona ukubwani kwny harakati zake za siasa.... na ht hyo picha kapga magoti naukumbuka huo ukumbi wa MCC Musoma!

Alikuwaje shuleni darasani kifupi,

Alikuwa na uwezo wa kufikisha alama 50 au majanga
 
JE AGI KAOLEWA?

NAOMBA MREJESHO KWA CLAS MATE WAKE.

ANYWAY, NIMEMFWATILIA
 
Hahhaha, kwakwel AMM ni moja ya wabunge wenye iq ya chini mno.
Yah na kama tukijua alikuwa anafaulu vizuri

Inabidi tutafute tatizo jingine

Huenda mwenyekiti anapakua pale si unajua tena anavyopenda minyeo na pale upo
 
Yah na kama tukijua alikuwa anafaulu vizuri

Inabidi tutafute tatizo jingine

Huenda mwenyekiti anapakua pale si unajua tena anavyopenda minyeo na pale upo
Hahha ivi kumbe kwe nye umashine hanaga mchezo.

Mbona yuko sirias sana?

Pia, unajua hizi sifa za kujua kusoma na kuandika zinaharb mjengo.
 
Hahha ivi kumbe kwe nye umashine hanaga mchezo.

Mbona yuko sirias sana?

Pia, unajua hizi sifa za kujua kusoma na kuandika zinaharb mjengo.
Zinaharibu sana

Anapenda mbunye yule asikwambie mtu

Fuatilia kwa makini hata hotuba zake anapenda kuongela mapenzi sana
 
Jirani yangu dodoma alikua analiwa na masai 1 ivi yule alikua anaigiza comedy..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…