Naomba kunisaidia hili

Naomba kunisaidia hili

Passed

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2017
Posts
561
Reaction score
160
Mimi nilitaka kupanga nyumba na ela nikatoa ya pango kwa miezi kadhaa lakini hatukuandikishana mkataba wala ku sign sehemu yoyote ile badae nikagair na kwenda kupanga sehem nyingine sasa nikaenda siku ya pili kudai nirudishiwe ela yangu majibu ninayopewa kwamba ela imeshaliwa na uyo mtu ataki kunirudishia ela yangu naomba mawazo ya kisheria mana nataka niende police

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom