Naomba kupata maelekezo ya kupata mkopo

Naomba kupata maelekezo ya kupata mkopo

Kefaville

Member
Joined
Mar 21, 2013
Posts
92
Reaction score
10
Habari wana Jamii forum,

Nina nyumba yangu na ina hati kabisa nahitaji kupata mkopo wa pesa ili nipate mtaji wa kuanzisha biashara yangu binafsi,
lakini nimeenda benk kibwa mbili NMB na CRDB kuuliza taratibu za kupata mkopo.

Lakini jamaa wananiambia mpaka niwe na biashara kabisa na nyumba yangu itakua kama Dhamana tu lakini siwezi kutumia nyumba kama nyumba ili kupata mkopo wa pesa, sasa nauliza sasa

KUNA BENKI IPI NAWEZA PATA MKOPO KWA KUTUMIA NYUMBA YANGU?
 
nenda EQUITY au ECOBANK.watakupa mkopo unaohitaji.ila jiandae kurudi kwenye nyumba ya kupanga
 
Habari wana Jamii forum,

Nina nyumba yangu na ina hati kabisa nahitaji kupata mkopo wa pesa ili nipate mtaji wa kuanzisha biashara yangu binafsi,
lakini nimeenda benk kibwa mbili NMB na CRDB kuuliza taratibu za kupata mkopo.

Lakini jamaa wananiambia mpaka niwe na biashara kabisa na nyumba yangu itakua kama Dhamana tu lakini siwezi kutumia nyumba kama nyumba ili kupata mkopo wa pesa, sasa nauliza sasa

KUNA BENKI IPI NAWEZA PATA MKOPO KWA KUTUMIA NYUMBA YANGU?

kwanza hongera kwa kumiliki nyumba. nmb na crdb ni wazuri sana kuliko unavyodhani, hawa hawana mpango wowote wa kuiuza nyumba uliyoiweka dhamana bali lengo lao ni kumsaidia mteja tofauti na benk zingine, kwani kwa uzoefu wangu ukikopa pesa then hiyo hiyo pesa inatakiwa itengeneze faida na upeleke marejesho kila mwezi ni wazi kwamba biashara itagoma na watakufilisi,USHAURI; ANZISHA BIASHARA YOYOTE KWA MTAJI MDOGO UONE MUELEKEO WAKE THEN BAADAYE UNAWEZA KWENDA BENK ILI KUISAPOTI BIASHARA YAKO
 
Back
Top Bottom