Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko very serious?Kama heading inavyojieleza vizuri, ningependa kupata rafiki ambaye anaishi marekani ama nchi zingine za ulaya
Lengo na madhumuni ni kubadilishana mawazo pia kutaka kujua mengi ya nchi husika na mengineyo.
Kama hutopenda ID yako humu kufahamika unaweza tu kuja kwenye inbox yangu na tukaweza kuendelea kuchat.
Asante na karibuni DIASPORA.View attachment 1097201
Ndiyo
Nipo Mimi hapa karibu
Changamka kiroho na kimwili weweBora kujiniga tu sasa
Changamka kiroho na kimwili wewe
Ngoja tufikishe mziko kwa tajiri kwanza,tunakuja.Wabeba boksi mnaitwa huku
[emoji23][emoji23] manengelo sema ni nini unataka. Watu tuendelee na kazi zetu
Mazereu yenu ndo yanawaponza sasa haya.nAtafuta diaspora anipe invititation nijilipue...ila ww huwez kuwa hatabsiku 1
Wako bize sana tena sana na kulinda na usalama wa nchi yetu.
Ukimpata nijulishe na mm tuende wote tuwe tunafarijiana uko kwenye nchi za watuKama heading inavyojieleza vizuri, ningependa kupata rafiki ambaye anaishi marekani ama nchi zingine za ulaya
Lengo na madhumuni ni kubadilishana mawazo pia kutaka kujua mengi ya nchi husika na mengineyo.
Kama hutopenda ID yako humu kufahamika unaweza tu kuja kwenye inbox yangu na tukaweza kuendelea kuchat.
Asante na karibuni DIASPORA.View attachment 1097201