"shall" inatumika kuonesha ulazima wa kufanikisha jambo linaloongelewa hata kama itatokea kikwazo cha aina gani, "may" inatumika kuonesha jambo linalozungumziwa linaweza kutekelezwa ama kutokutekelezwa kulingana na ridhaa ya muhusika, ni maoni yangu na mtazamo wangu
Shukran mkuu"shall" inatumika kuonesha ulazima wa kufanikisha jambo linaloongelewa hata kama itatokea kikwazo cha aina gani, "may" inatumika kuonesha jambo linalozungumziwa linaweza kutekelezwa ama kutokutekelezwa kulingana na ridhaa ya muhusika, ni maoni yangu na mtazamo wangu
Wakuushall is a must,whether you like or not ila may ni uwezekano mkataba waweza sitishwa au la
"shall" inatumika kuonesha ulazima wa kufanikisha jambo linaloongelewa hata kama itatokea kikwazo cha aina gani, "may" inatumika kuonesha jambo linalozungumziwa linaweza kutekelezwa ama kutokutekelezwa kulingana na ridhaa ya muhusika, ni maoni yangu na mtazamo wangu