Naomba kupewa uzoefu wa zao la alizeti kwa wilaya ya Liwale

Naomba kupewa uzoefu wa zao la alizeti kwa wilaya ya Liwale

Mandison

Senior Member
Joined
Mar 10, 2017
Posts
191
Reaction score
110
Habari wana JF,

Nina wazo la kulima alizeti katika wilaya ya Liwale baada ya kuona ufuta unasuasua kwenye suala la bei sokoni.
Naomba wenye uzoefu kuhusiana na mbegu inayohimili hali ya hewa katika wilaya hii anisaidie uzoefu wake tafadhali
 
Back
Top Bottom