Naomba kusahihishwa barua yangu ya Kingereza

Naomba kusahihishwa barua yangu ya Kingereza

NOT ENOUGH

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
596
Reaction score
307
Elimu yangu ni form four niliyoipata Shule ya Jumuiya Tanga (Shule ya Jumuiya ya wazazi) na kufaulu daraja la tatu points 23 mwaka 1993. Tokea hapo nimefanya kazi na wazungu mpaka nikafikia level ya umeneja. Sikuwahi kuongeza elimu kabisa.

Kama miaka tisa sasa nina kampuni yangu ambayo mimi ndio Managing Director but I am lucking professional qualifications na pia kutokuwa na degree - Its a very big weakness asikwambie mtu. Huwa napata shida sana kwenye kuandika barua kwani naweza nikatumia mpaka siku tatu tena kwa nguvu kubwa ya dictionary na ma search engine.

Sasa naomba wenye kujuwa wasome hiyo barua niliyo attach then wanisahihishe nijue nimefikia level gani?

Asante sana.
 

Attachments

Elimu yangu ni form four niliyoipata Shule ya Jumuiya Tanga (Shule ya Jumuiya ya wazazi) na kufaulu daraja la tatu points 23 mwaka 1993. Tokea hapo nimefanya kazi na wazungu mpaka nikafikia level ya umeneja. Sikuwahi kuongeza elimu kabisa. Kama miaka tisa sasa nina kampuni yangu ambayo mimi ndio Managing Director but I am lucking professional qualifications na pia kutokuwa na degree - Its a very big weakness asikwambie mtu. Huwa napata shida sana kwenye kuandika barua kwani naweza nikatumia mpaka siku tatu tena kwa nguvu kubwa ya dictionary na ma search engine. Sasa naomba wenye kujuwa wasome hiyo barua niliyo attach then wanisahihishe nijue nimefikia level gani?

Asante sana.

Ngoja wenyewe waje
 
mbona kamusi hujai...attach

Reattached kama usipo ipata ndo hiyo hapo chini

Dear Esteemed Customers.

We believe that everyone is safe and adhering to the directives commanded by authorities pertaining to the COVID -19
Our company continues to pray for you to prevail over the stumbling blocks in business while also striving to protect the well-being of your families and yourselves. We are optimistic that the situation will perk up in the near future so let’s hope for the best but prepare for the worst just to be on the safe side.

May I inform you XXX Ltd has been for the past fifteen years running her sister company dealing with home supplies. In light of what has been insisted to avoid gathering and keep up social distance, we are humbly tendering our proposal to provide door to door service for your home’s supplies. We are pledging to deliver stuffs in top-notch hygiene sticking to all measures in relation to Disinfection of the rolling pandemic disease.

Products

Fruits & Vegetables – (Imported and local)

1. Dry food stuffs (Groceries)
2. Dairy products
3. Meat and Poultry (Imported and local)
4. Detergents & Amenities
5.Gas, Luku and Mpesa service
6.Logistics and courier services

Kindly drop us an email for all your orders which I, personally will deliver making sure that I have taken total responsibilities so there would be no room for any mess in the due course as from points of origin to the destinations. Your supply will be delivered with delivery note, invoice and EFD receipt for you to pick out a suitable mode of payments. (Wire, Cheque or Cash)

We look forward to receiving your orders.
Miss AA
Managing Director
 

Attachments

ulitaka kumaanisha nn


May I inform you XXX Ltd has been for the past fifteen years running her sister company dealing with home supplies
 
ulitaka kumaanisha nn


May I inform you XXX Ltd has been for the past fifteen years running her sister company dealing with home supplies

Naomba kukufahamisha kwamba kampuni XXXX imekuwa ikiendesha kampuni pacha inayojihusiha na kusambaza bidhaa za nyumbani kwa miaka 15 sasa
 
Naomba kukufahamisha kwamba kampuni XXXX imekuwa ikiendesha kampuni pacha inayojihusiha na kusambaza bidhaa za nyumbani kwa miaka 15 sasa
The xxx ltd company&xxx company(sister) has been running together ingekaa poa
 
Kwenye kuomba tenda (kimakampuni)usiseme naomba kukufahamisha... Sidhani kama kuna kampuni inaongozwa na mtu mmoja..hata kama ni mali yako

..bora useme tunaomba au inaomba
 
Kwenye kuomba tenda (kimakampuni)usiseme naomba kukufahamisha... Sidhani kama kuna kampuni inaongozwa na mtu mmoja..hata kama ni mali yako

..bora useme tunaomba au inaomba

Asante though I am sending this letter to specific companies which I have been dealing with through other company, so am trying to inform them that we are also running another company that could also work with them especially this time around.
 
Asante though I am sending this letter to specific companies which I have been dealing with through other company, so am trying to inform them that we are also running another company that could also work with them especially this time around.
its another company or just a branch?
 
Why didn't you use third person plural (pronoun)?
may I, ...Vs We look forward to receive your order
 
Nimestaajabu kupata hii barua kuttoka Tanga nakugundua kumbe na ww Miss A.A ni member humu asante kwa ushirikiano....
Japo Nina degrees lkn ki English chako ni cha ndani ndani sana
Changamoto zipo ila sio kivile,ndo maana hata Mimi nimecomment kwa kiswahili ili niwe huru zaidi
 
Nimestaajabu kupata hii barua kuttoka Tanga nakugundua kumbe na ww Miss A.A ni member humu asante kwa ushirikiano....
Japo Nina degrees lkn ki English chako ni cha ndani ndani sana
Changamoto zipo ila sio kivile,ndo maana hata Mimi nimecomment kwa kiswahili ili niwe huru zaidi
Kwahy una mfaham?
 
Back
Top Bottom