Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
8 to 10 km per litreNimenunua gari aina tajwa hapo juu,je kwa kawaida gari hii ikiwa smart haina usumbufu,hutumia liter moja kwa kilometres ngapi?,msaada tafadhali
Na hapo ikiwa mpya kama ishaota yale matege ataikimbia. Gari za hovyo sana zilizopokelewa kwa shangwe na watanganyika.3S Ni engine za zamani hizo,hapo Ni mwendo wa 7-8 km/litre.
😄😄 K-legs Ni ugonjwa wake lkn Ni Gari flani inayoendana na mazingira ya kibongo.Na hapo ikiwa mpya kama ishaota yale matege ataikimbia. Gari za hovyo sana zilizopokelewa kwa shangwe na watanganyika.
Yeah 4cylindersInjini ni 3s
Very good carNimenunua gari aina tajwa hapo juu,je kwa kawaida gari hii ikiwa smart haina usumbufu,hutumia liter moja kwa kilometres ngapi?,msaada tafadhali
Yaani lita moja unaweza kutembea kilometres 8 mpaka kumi kutegemeana na hali ya engine na uendeshaji wakoKwahiyo ilikutumia kiasi hicho inatakiwa niendeshe mwendo gani per kilometre?
Ila hizi miss tz naona ziko vzuri, kuna moja ilikuwa ina buruzwa huko mbeya vijijin hadi unaionea hurumia ila sikuona ikiota matege, na kwenye mafuta ziko vzuriYaani lita moja unaweza kutembea kilometres 8 mpaka kumi kutegemeana na hali ya engine na uendeshaji wako
Shukrani sana kwa kunipa imani nayoIla hizi miss tz naona ziko vzuri, kuna moja ilikuwa ina buruzwa huko mbeya vijijin hadi unaionea hurumia ila sikuona ikiota matege, na kwenye mafuta ziko vzuri
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app