Naomba kusaidiwa kuelewa kuhusu gari aina ya RV4 J old model utumiaji wa mafuta liter per kilometre

Inawaka na lita 8
Nafikiri manufacturer walifanya hivyo kulinda mfumo wa mafuta,ikiwa na maana pump isivute uchafu kdhalika tank dhidi ya kutu,niko sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…