Wana jf,kampuni yetu tulisajili tangu mwaka 2010,kutokana na hali mbaya ya biashara na mimi kuwa masomoni hatukuweza kulipa kodi kwa miaka hii yote na hatukutoa taarifa tukitegemea mambo yangekua safi badae,sasa angalau tumepata fedha kidogo,tunataka tulipe,swali ni je naweza kuepuka penalties,ili nilipe kodi ya awali pekee?
Maana zinazidi hata kodi yenyewe. nimeandika barua kuelezea sababu za kutolipa lakini bado sijaipeleka, nifanyeje wakuu,mawazo yenu yamekua msaada sana kwangu msichoke kunisaidia
Maana zinazidi hata kodi yenyewe. nimeandika barua kuelezea sababu za kutolipa lakini bado sijaipeleka, nifanyeje wakuu,mawazo yenu yamekua msaada sana kwangu msichoke kunisaidia