Naomba kusaidiwa; nataka kusoma diploma ya afya

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,385
Reaction score
10,659
Habarini wakuu,
Nina E ya kemia na C ya biology A level natafuta chuo cha serikali cha afya. Please, naomba kusaidiwa:
1. Vyuo vipi hapa nchini vinanifaa?
2. Ada ya vyuo vya serikali ni sh.ngapi kwa mwaka?
Please, anayejua hasa vyuo vya bei rahisi anisaidie na mwenzenu nikasome. Nimejikusanya kusanya vihela kidogo nataka kwenda chuo. Asanteni. O level nina matokeo mazuri sana!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Nenda Nacte pale kwa maelezo kamili
 

Diploma zote afya kiwango cha chini ufaulu ni masomo kidato nne cha PCB - DCC. Matokeo F6 ni bwebwe tu! Na kama hauna ufaulu hata D flat kwenye masomo tajwa fani za afya sahau kabisa!
 



Clinical officers inahitahi 3 principals of pcb Wewe umesoma combntn ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…