Naomba kusaidiwa upande wa calculation za Excel

Naomba kusaidiwa upande wa calculation za Excel

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Wakuu habari .

Naomba kusaidiwa upande wa calculation za Excel.

Nikiwa nimepanga majina ya wanafunzi, nimeweka marks za kila somo, jumla, wastani, Daraja la ufaulu na , nafasi aliyoshika kila mwanafunzi.

Je nikitaka majina yajiapange kulingana na ufaulu wao nafanyaje?

Yaani Kama John kwenye yupo Cell za chini lakin kimatokeo ndio ameongoza , sasa ili jina lake ndio liwe juu nafanyaje?
 
Tayarisha hiyo sheet yako ikiwa na columns zote kisha nenda pale kwenye ku sort (sijui unapajua) kisha sort in ascending order based na column uliyoweka position zao. Kumbuka ku select all kabla huja sort.

Umeelewa au nimekuvuruga tu zaidi
 
Tumia rank, =RANK(A2,A$2😀$4,1) Hiyo dollar sign inakusaidia kuifanya formula iwe fixed, yaani ukidrag formula haiwezi kubadilika, Hii itafaya mtu mwenye marks za juu i.e (John awe wa kwanza akifuatia na mwenye marks anayemfuatia John atakuwa wa pili na kuendelea...
 
Tayarisha hiyo sheet yako ikiwa na columns zote kisha nenda pale kwenye ku sort (sijui unapajua) kisha sort in ascending order based na column uliyoweka position zao. Kumbuka ku select all kabla huja sort.

Umeelewa au nimekuvuruga tu zaidi
Yeye hapo anataka awapange kimadaraja wa kwanza hadi wa mwisho kiufaulu, na kumbuka sorting inawapanga kwa mfumo wa alphabet na sio ranks..
 
Sure mkuu, yaani hiyo sorting ni kuwapanga kimajina kwa mfumo wa alphabet A-Z...Wakati rank inawapanga aliyepata marks kubwa mpaka aliyepata marks ndogo (wa kwanza hadi wa mwisho) nayeye mtoa ndo anataka hivo
 
Sure mkuu, yaani hiyo sorting ni kuwapanga kimajina kwa mfumo wa alphabet A-Z...Wakati rank inawapanga aliyepata marks kubwa mpaka aliyepata marks ndogo (wa kwanza hadi wa mwisho) nayeye mtoa ndo anataka hivo
Mkuu una hakika?

Jina
Hesabu
Jografi
Siasa
Nafasi darasani
John
80​
11​
75​
1​
Seif
10​
83​
52​
5​
Makonda
52​
52​
1​
2​
Zitto
24​
12​
22​
4​
Kingai
74​
2​
1​
3​
So una maana hapa niki sort based na column ya nafasi darasani sitafanikiwa?

Usi complicate vitu mkuu, ishui ndogo sana hii na njia niliyompa inamtatulia shida yake fasta tu achana na ma formula hayo
 
Mkuu una hakika?

Jina
Hesabu
Jografi
Siasa
Nafasi darasani
John
80​
11​
75​
1​
Seif
10​
83​
52​
5​
Makonda
52​
52​
1​
2​
Zitto
24​
12​
22​
4​
Kingai
74​
2​
1​
3​
So una maana hapa niki sort based na column ya nafasi darasani sitafanikiwa?

Usi complicate vitu mkuu, ishui ndogo sana hii na njia niliyompa inamtatulia shida yake fasta tu achana na ma formula hayo
Rank ni official formula ya kutafuta madaraja, anachokitaka mtoa mada sio hicho unachomwambia, Kumbuka hapo hajawapanga kimadaraja, angewapanga kimadaraja pengine hiyo sorting ndo ingetumika kuwapanga kialfabeti.

Excel ni pana mkuu
 
Rank ni official formula ya kutafuta madaraja, anachokitaka mtoa mada sio hicho unachomwambia, Kumbuka hapo hajawapanga kimadaraja, angewapanga kimadaraja pengine hiyo sorting ndo ingetumika kuwapanga kialfabeti.

Excel ni pana mkuu
Tayar nimepanga madaraja na nafasi aliyoshika lakin nataka aliyeshika nafasi ya Kwanza basi jina lake lije juu liwe la Kwanza , then iwe mtirirko huo huo.

Samahan Kwa kutotoa ushirikiano.
 
Tayarisha hiyo sheet yako ikiwa na columns zote kisha nenda pale kwenye ku sort (sijui unapajua) kisha sort in ascending order based na column uliyoweka position zao. Kumbuka ku select all kabla huja sort.

Umeelewa au nimekuvuruga tu zaidi
Nashukuru Sana mkuu. Nimefanikisha Kwa kufuata ulivyoeleza
 
Nashukuru Sana wadau wote mliojitikeza . Long live jamiiforum
 
Tayar nimepanga madaraja na nafasi aliyoshika lakin nataka aliyeshika nafasi ya Kwanza basi jina lake lije juu liwe la Kwanza , then iwe mtirirko huo huo.

Samahan Kwa kutotoa ushirikiano.
Tumia hiyo formula hapo juu
 
Back
Top Bottom