Wakuu, naomba kusaidiwa vitu vifuatavyo kuhusu hii biashara ya pikipiki.
1.Aina ya pikipiki uliyokuwa unatumia au aina ya pikipiki unayopendekeza kwenye hii biashara
2.Wastani wa pesa uliyokuwa unapata kwa siku au weekly.
3.Gharama yamatengenezo kwa siku au kwa mwezi
Natanguliza shukrani zangu kwawote wataojitolea kuchangia.
Asanteni.
1.Aina ya pikipiki uliyokuwa unatumia au aina ya pikipiki unayopendekeza kwenye hii biashara
2.Wastani wa pesa uliyokuwa unapata kwa siku au weekly.
3.Gharama yamatengenezo kwa siku au kwa mwezi
Natanguliza shukrani zangu kwawote wataojitolea kuchangia.
Asanteni.