Naomba kusaidiwa

fimbombaya

Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
47
Reaction score
12
jamani naomba nieleweshwe kuhusu tatizo la kuwa na chunusi usoni kunasababishwa na nini? na je madai yakuwa nikwasababu ya kutojishughulisha na mapenzi ni ya kweli? nini tiba yake?
 
mm madai ya kutojishughulisha na mapenzi sio ya kweli,sababu pia ziko nyingi na tofauti, kuna wengine nyuso zao zina mafuta mengi, wengine kuchanganyachanganya cream etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…