Naomba kutajiwa kikosi Cha Mlandege kilichoanza kwenye mechi ya fainali ya CECAFA 1998

Zuberih

Member
Joined
Dec 22, 2017
Posts
15
Reaction score
20
Kwa mwenye kumbukumbu naomba anitajie kikosi Cha Mlandege kilichoanza kwenye mechi ya fainali ya CECAFA 1998 dhidi ya Rayon sports ya Rwanda.
 
Victor John Bambo alikuwepo


Wengine wataongezea wengine
 
Edibily Lunyamila na Nico Bambaga hawakukosekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…