GOSSO MZEKEZEKE
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 180
- 204
Habari JF,
Naomba kuuliz kuhusu PMP(Project Management Professional) certified imeanza kuwa ya lazima kwa baadhi ya taasisi za serikali?
Maana kuna tetesi nimesikia kwa taasisi kama TANESCO NA TCRA wanataka watu waliokuwa na PMP hasa wahandisi, mwenye ukweli kuhusu hili anijulishe.
Naomba kuuliz kuhusu PMP(Project Management Professional) certified imeanza kuwa ya lazima kwa baadhi ya taasisi za serikali?
Maana kuna tetesi nimesikia kwa taasisi kama TANESCO NA TCRA wanataka watu waliokuwa na PMP hasa wahandisi, mwenye ukweli kuhusu hili anijulishe.