Naomba kuuliza anayefahamu Bei ya Usafirishaji wa Nafaka

Radick Gabrick

New Member
Joined
Sep 15, 2023
Posts
3
Reaction score
2
Naomba kuuliza anayefahamu Bei ya Usafirishaji wa Nafaka. Mfano Mahindi [emoji535] kupitia Semi [emoji597]
Naomba anisaidie bei au Gharama hizo hupimwa kwa kilo au kwa kila Mzigo wa Gunia moja na inakuwaje.

Msaada Please
 
Naomba kuuliza anayefahamu Bei ya Usafirishaji wa Nafaka. Mfano Mahindi [emoji535] kupitia Semi [emoji597]
Naomba anisaidie bei au Gharama hizo hupimwa kwa kilo au kwa kila Mzigo wa Gunia moja na inakuwaje.

Msaada Please
Nimaelewano
Mfano hku kwetu HANDENI to Dar tandamu m 1.3 wakat single lake 7 Hadi 8
 
Kwa umbali huo sjui japo naamin kama unagunia nyingi haizidi sh 10000 kwa gunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…