Inakuwaje, watu wangu? Natumai mko poa! Binafsi niko fresh.
Naomba kuuliza hivi, biashara ya movie library kwa Mpanda Mjini ikoje? Naamini kuna wadau wa Mpanda humu, na wengine waliowahi kuishi au hata kuhama lakini bado wanaifahamu vizuri Mpanda Mjini.
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu wadau🙏🙏
Naamini nitapata kitu kutoka kwenu.