Naomba kuuliza hivi ule Wimbo wa Bomu limekwisha pasuka maji yamekwisha mwangika, Uliishia wapi?

Naomba kuuliza hivi ule Wimbo wa Bomu limekwisha pasuka maji yamekwisha mwangika, Uliishia wapi?

DSN

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
2,837
Reaction score
1,679
Huu wimbo wakati ule ukiimbwa nilikuwa mdogo sana ..lakini maudhuhi yake yalikuwa yananifurahisha sana...manake vijana wadogo wadogo wa wenzi hizo...radio yetu ni moja na nyimbo nzuri nyingi za burudani na elimu ya umma zilikuwa zinatoka mida ya mchana mwema mida ya maakuli ..lakini pia kulikuwa na nyimbo kwenye vipindi vya elimu ya umma.

Kuna nyimbo ulikuwa ukiziskia unavutika kujifunza jambo muhimu na hasa UADILIFU na HESHIMA kwa mali ya UMMA...moja ya nyimbo hizo sikumbuki ulipigwa na bendi gani ila ulikuwa ukisikika kwenye kipindi cha mambo ya wala Rushwa cha MIKING'AMO..kama nimekosea verse za mwanzo naomba kusahihishwa manake enzi zile kwenye medani za siasa za umri ule nilikuwa mdogo sana mwa miaka nane kuelekea kumi na ushee.Wimbo ule ulikuwa unasema ''Bomu limekwisha pasuka, maji yamekwisha mwangikaa...niniiinii...na kuendeleaa..''.

Mantiki ya wimbo ule ulikuwa ni kutoa maonyo na kuhamasisha umma juu ya maswala ya mapambano ya Rushwa kabla ya ujio wa udokozi wa mali ya umma,na sasa ya kupanda dalaja kwa udokozi huo na kuwa ukibaka wa mali ya umma, ambao unapanda dalaja kuelekea kweye ujambazi wa mali ya umma kama bidii za kuzima mwenendo huo azitachuliwa hatua stahiki kwa sasa.

Wimbo wa aina ile..nazinginezo za zama zile katika kupinga Rushwa zilipotelea wapi ? ...Naomba kuuliza kwa sauti kubwa wale wote wanaotoka studio za TBC na kupita hapa watwambie zile TAPE za nyimbo za RUSHWA ziliozokuwa zikipigwa zama zile mara kwa mara kuimiza Watanzania wema kukaa mbali na Rushwa zama zile zile Kaseti aka Kanda JE ZILILIWA na Panya au Zililowa na maji kwa kudondokewa na Paa?..Watwambie tujue..Manake hakuna kitu chenye kumfundisha jambo binadamu kwa ufasaha mzuri duniani na kukumbusha historia ya maisha yake kwa haraka zaidi kama muziki huu tunaosikiliza hapa duniani.Manake marehemu Dk Remmy alishasema muziki hauna mwenyewe...mbele ya Mwenyekiti kuutubia ni muziki unaanza kuwakusanya watu..

Kupitia ule muziki wa zama zile kama muziki huu ninaojaribu kujikumbusha hapa, ilikuwa ni miziki ambayo iliwajenga Watanzania kuchukia Rushwa na kuiona kama ADUI wa dhati wa maendeleo yao.Hivi TBC wamekosa uwezo wa kupiga nyimbo hata 3 au 4 kwa siku kuimiza mapambono ya Rushwa na ujio mpya wa Baba wa Rushwa Ufisadi.Wamekosa kuingiza watu wapya studio wakaimba nyimbo za kutuelimisha madhara ya Rushwa na Ufisadi kama ilivyokuwa enzi ya Mwalimu Nyerere na Mzee Ally Hassan Mwinyi.

Nisaidieni nini kilitokea kiasi kuwa kwenye Radio ya Taifa inaweza kupita Mwezi usisikie wimbo japo wa kukemea Rushwa ...ni heri kuimiza kila studio sasa hivi kuwa inapiga nyimbo maalumu 3 au 4 kwa siku zenye kukemea Rushwa na Ufisadi kuliko kulazimisha wajiunge kusikiliza Taarifa ya habari kwenye kujiunga na TBC Raido na Luninga.

Kwa nyimbo zile ubongo wangu ulijengeka kuichukia Rushwa na mpaka leo siupendi Ufisadi na Rushwa..ni kwa kupitia nyimbo hizo.
 
Mmmh!!!! siujui labda ulikuwa unapigwa wakati mi nisha zeeeka, enzi hizo vijana wadogo ndio mliujua.
 
Mmmh!!!! siujui labda ulikuwa unapigwa wakati mi nisha zeeeka, enzi hizo vijana wadogo ndio mliujua.
Nooo ulikuwa unapigwa kipindi fulani hivi kabla ya kuanza kwanza unanza mlio wa kingola fulani hivi....halafu wimbo unaenda hewani...kisha kunaaza kutolewa habari fulani za ufisadi wa mtu kama ni shirika la umma watu wanamwaga hadharani...ebu kumbuka nasikia enzi hizo waonekana ulikuwa kambinti kabisa
 
Nooo ulikuwa unapigwa kipindi fulani hivi kabla ya kuanza kwanza unanza mlio wa kingola fulani hivi....halafu wimbo unaenda hewani...kisha kunaaza kutolewa habari fulani za ufisadi wa mtu kama ni shirika la umma watu wanamwaga hadharani...ebu kumbuka nasikia enzi hizo waonekana ulikuwa kambinti kabisa

Mimi chenga tupu hapa, nakumbuka kamwimbo ka kipindi cha majira kila siku saa3 ucku basi, ilikuwa miaka gani labda?
 
Nooo ulikuwa unapigwa kipindi fulani hivi kabla ya kuanza kwanza unanza mlio wa kingola fulani hivi....halafu wimbo unaenda hewani...kisha kunaaza kutolewa habari fulani za ufisadi wa mtu kama ni shirika la umma watu wanamwaga hadharani...ebu kumbuka nasikia enzi hizo waonekana ulikuwa kambinti kabisa

Niyanyaka mashairi yake humu humu JF.
Bomu limeshapasuka, mabepari wanahangaika, walanguzi wanatapatapa aaaaaahh~~~
wahujumu nao wako ndanieeeeeeeeeeeeeeeeee!!
Nikilala nikiamkaaa sabuni haionekani,
nikilala nikiamkaaaaaaah sukari haionekaniii
Kumbe sababu ya walanguzieeeeeeeeeeeeeeeeeeee> >>>>>>>>>>>
 
Niyanyaka mashairi yake humu humu JF.
Bomu limeshapasuka, mabepari wanahangaika, walanguzi wanatapatapa aaaaaahh~~~
wahujumu nao wako ndanieeeeeeeeeeeeeeeeee!!
Nikilala nikiamkaaa sabuni haionekani,
nikilala nikiamkaaaaaaah sukari haionekaniii
Kumbe sababu ya walanguzieeeeeeeeeeeeeeeeeeee> >>>>>>>>>>>
Sasa nyimbo hizi zilikuwa zinawafanya wazee wetu wawe na heshima ya kujenga Taifa lao..kwa kuwa sheria ilikuwa inachukua mkondo wake balabala kabisa...mtu akiusikia wimbo huo basi hawazi kamwe kula jasho la umma.Sasa tulipo noooo...watu washafanya yao.
 
Sasa nyimbo hizi zilikuwa zinawafanya wazee wetu wawe na heshima ya kujenga Taifa lao..kwa kuwa sheria ilikuwa inachukua mkondo wake balabala kabisa...mtu akiusikia wimbo huo basi hawazi kamwe kula jasho la umma.Sasa tulipo noooo...watu washafanya yao.

Ninaendelea kuusakanya kwenye Library mbali mbali nikiupata nitauweka hapa.... Hizo nyimbo ilikuwa kabla haujapigwa redioni baada ya kurekodiwa unapelekwa BASATA kukaguliwa kisha unapatiwa kibali cha kurushwa redioni... Sio miziki ya sasa ni mapenzi mwanzo mwisho...
 
Bomu limeshapasuka,mabepari wanahangaika, wahujumu wanatapatapaaa........Churus...Milanguzi nayo iko ndani eeee.

Nilikua mimi silaliii, nikihangaika na maisha, maisha yalipanda ahaaa.....oooooooo maisha magumueeeeee.

Kila nilichofanya,sijui kilipokwenda,kazi nilifanya, mshahara nilipataa ahaaa,ooooo maisha magumueeeeee.

Nilikua na wake wawili mmoja nimeshamuachaa, sababau ya mataitizo, maisha yalipansa ahaa.....sababu ya hao walanguzieeeeee.

Sasa vita imetangazwaaaaa jamaaaaa.....wananchi wote tuwe imaraaa, vijijini na mijini tusisite kuwafichua wahujumu na walanguzi eeee....

I stand to be corrected,
 
Ni enzi za uongozi usiopenda Rushwa, chini ya kamanda mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine.

Ni Vijana jazz walika vitu hewani.

Na ukweli jamaa miaka ile walipata shida.

Hivyo leo Radio zetu au vituo vya TV hawawei kuweka vibao vinayota ujumbe wa kuwaumbua vigogo au kufuatilia nyendo zao kwa sababu wanaogopa mkono wa mafisadi unaweza kukifungia daima hicho chombo chenye kuweka ujumbe mzito kama ule.

Leo ukionekana unafichua jambo lolote lazima uwajibishwe na wenye nchi yao.

Mfano: Gazeti MWanahalisi
: Jerry Muro na kipindi chake cha kufichua wala rushwa barabara jinsi alitengenezewa kesi ya kula rushwa na yeye.

unachezea wenye nchi ya Tanzania weweweeee!!!!!!!!

Wataku-Ulimboka ukifanya masihala.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Bomu limeshapasuka,mabepari wanahangaika, wahujumu wanatapatapaaa........Churus.. .Milanguzi nayo iko ndani eeee.
Nilikua mimi silaliii, nikihangaika na maisha, maisha yalipanda ahaaa.....oooooooo maisha magumueeeeee.
Kila nilichofanya,sijui kilipokwenda,kazi nilifanya, mshahara nilipataa ahaaa,ooooo maisha magumueeeeee.
Nilikua na wake wawili mmoja nimeshamuachaa, sababau ya mataitizo, maisha yalipansa ahaa.....sababu ya hao walanguzieeeeee.

Sasa vita imetangazwaaaaa jamaaaaa.....wananchi wote tuwe imaraaa, vijijini na mijini tusisite kuwafichua wahujumu na walanguzi eeee....

I stand to be corrected,
Nimeyapata na nimekumbuka mbali sana what a wondeful day today!!!nimekumbuka maisha ya maadili, wazee wakiwa wanapiga vita tabia ya wizi, uongo na uvivu...Leo hii viongozi wetu wenyewe waongo:Kidogo huyu ananikumbusha Nchi ya haki...ananikumbusha viongozi walivyopaswa kuwa wakweli.wenye viapo vya kusema kweli daima na rushwa ufisadi kwao mwiko daima.

 
Last edited by a moderator:
Umeondoka walipopitisha azimio la Zanzibar
Hivi kwani sifa za azimio la Arusha ni mwiko kabisa kuludi Tanzania with all matatizo tuliyopitia na ujio mpya wa kansa ya UFISADI...jamani?
 
Huu wimbo wakati ule ukiimbwa nilikuwa mdogo sana ..lakini maudhuhi yake yalikuwa yananifurahisha sana...manake vijana wadogo wadogo wa wenzi hizo...radio yetu ni moja na nyimbo nzuri nyingi za burudani na elimu ya umma zilikuwa zinatoka mida ya mchana mwema mida ya maakuli ..lakini pia kulikuwa na nyimbo kwenye vipindi vya elimu ya umma.

Kuna nyimbo ulikuwa ukiziskia unavutika kujifunza jambo muhimu na hasa UADILIFU na HESHIMA kwa mali ya UMMA...moja ya nyimbo hizo sikumbuki ulipigwa na bendi gani ila ulikuwa ukisikika kwenye kipindi cha mambo ya wala Rushwa cha MIKING'AMO..kama nimekosea verse za mwanzo naomba kusahihishwa manake enzi zile kwenye medani za siasa za umri ule nilikuwa mdogo sana mwa miaka nane kuelekea kumi na ushee.Wimbo ule ulikuwa unasema ''Bomu limekwisha pasuka, maji yamekwisha mwangikaa...niniiinii...na kuendeleaa..''.

Mantiki ya wimbo ule ulikuwa ni kutoa maonyo na kuhamasisha umma juu ya maswala ya mapambano ya Rushwa kabla ya ujio wa udokozi wa mali ya umma,na sasa ya kupanda dalaja kwa udokozi huo na kuwa ukibaka wa mali ya umma, ambao unapanda dalaja kuelekea kweye ujambazi wa mali ya umma kama bidii za kuzima mwenendo huo azitachuliwa hatua stahiki kwa sasa.

Wimbo wa aina ile..nazinginezo za zama zile katika kupinga Rushwa zilipotelea wapi ? ...Naomba kuuliza kwa sauti kubwa wale wote wanaotoka studio za TBC na kupita hapa watwambie zile TAPE za nyimbo za RUSHWA ziliozokuwa zikipigwa zama zile mara kwa mara kuimiza Watanzania wema kukaa mbali na Rushwa zama zile zile Kaseti aka Kanda JE ZILILIWA na Panya au Zililowa na maji kwa kudondokewa na Paa?..Watwambie tujue..Manake hakuna kitu chenye kumfundisha jambo binadamu kwa ufasaha mzuri duniani na kukumbusha historia ya maisha yake kwa haraka zaidi kama muziki huu tunaosikiliza hapa duniani.Manake marehemu Dk Remmy alishasema muziki hauna mwenyewe...mbele ya Mwenyekiti kuutubia ni muziki unaanza kuwakusanya watu..

Kupitia ule muziki wa zama zile kama muziki huu ninaojaribu kujikumbusha hapa, ilikuwa ni miziki ambayo iliwajenga Watanzania kuchukia Rushwa na kuiona kama ADUI wa dhati wa maendeleo yao.Hivi TBC wamekosa uwezo wa kupiga nyimbo hata 3 au 4 kwa siku kuimiza mapambono ya Rushwa na ujio mpya wa Baba wa Rushwa Ufisadi.Wamekosa kuingiza watu wapya studio wakaimba nyimbo za kutuelimisha madhara ya Rushwa na Ufisadi kama ilivyokuwa enzi ya Mwalimu Nyerere na Mzee Ally Hassan Mwinyi.

Nisaidieni nini kilitokea kiasi kuwa kwenye Radio ya Taifa inaweza kupita Mwezi usisikie wimbo japo wa kukemea Rushwa ...ni heri kuimiza kila studio sasa hivi kuwa inapiga nyimbo maalumu 3 au 4 kwa siku zenye kukemea Rushwa na Ufisadi kuliko kulazimisha wajiunge kusikiliza Taarifa ya habari kwenye kujiunga na TBC Raido na Luninga.

Kwa nyimbo zile ubongo wangu ulijengeka kuichukia Rushwa na mpaka leo siupendi Ufisadi na Rushwa..ni kwa kupitia nyimbo hizo.

Uliishia Mbagala na gongo la mboto.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Ninaendelea kuusakanya kwenye Library mbali mbali nikiupata nitauweka hapa.... Hizo nyimbo ilikuwa kabla haujapigwa redioni baada ya kurekodiwa unapelekwa BASATA kukaguliwa kisha unapatiwa kibali cha kurushwa redioni... Sio miziki ya sasa ni mapenzi mwanzo mwisho...

Mkuu ukiupata nimention na mimi, naupenda kweli, kipindi hicho ilikuwa balaa watu wanazunguka redio kusikiliza nani kimemuwakia leo
 
  • Thanks
Reactions: DSN


[TABLE="class: footer-button-bar"]
[TR]
[TD="class: mod-button"]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: footer-button-bar"]
[TR]
[TD="class: mod-button"]

[/TD]
[TD="class: mod-button"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




[TABLE="class: mod-buttonbar"]
[TR]
[TD="class: mod-button"]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




Anthony Kisondella Mwaka 1 uliopita (yalibadilishwa)
Hawa walikuwa JKT Kimbunga Stereo - bahati mbaya list yao imenitoka, hata hivyo uongozi mzima wa bendin ulikuwa chini ya mwanamuziki mkongwe Kassim Mapili - ambaye ni kati ya wapigaji gita la kuongoza wa muda mrefu hapa Tanzana
 
Last edited by a moderator:















Anthony Kisondella Mwaka 1 uliopita (yalibadilishwa)
Hawa walikuwa JKT Kimbunga Stereo - bahati mbaya list yao imenitoka, hata hivyo uongozi mzima wa bendin ulikuwa chini ya mwanamuziki mkongwe Kassim Mapili - ambaye ni kati ya wapigaji gita la kuongoza wa muda mrefu hapa Tanzana

Asilia band,bendi iliokuwa chini ya Wizara ya Michezo na Utamdauni.Kipindi kiliongozwa na Suleimani Hega.
 
Back
Top Bottom