Naomba kuuliza ili mtu aitwe doctor kama dk SLAA ,dk Harison ana ngazi gani kielimu

naona umefurahi kutajiwa SLAA
 
imagine mwanao kakuuliza swali utamdirect kwenye radio? Hila ndg kumbuka watu wana upeo tofauti kuna wengine wanachokifahamu wanajua kila mtu anajua.

hajakosea we wilimboka umemsikia wapi
 

Kupenda kweli upifu! 😕

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
mleta uzi ukimaliza hapa fungua ili upate tofauti kati ya akina Prof Maji Marefu na akina Prof Tibaijuka
 
Luno G;
mleta uzi ukimaliza hapa fungua ili upate tofauti kati ya akina Prof Maji Marefu na akina Prof Tibaijuka

Umesahau Prof jay na Prof ludigo pia
 

ko na wa phd nao wajiite doctor of philosophy? Just use your common sense.
 
je ili mtu haitwe doctor lazima awe na hizo degree 3 na zinatakiwa ziwe za nini ?

kufupisha soma udaktari wa binadamu au mifugo miaka mitano tu kama hutaviringishwa.
 
PhD is a Doctor of Philosophy, MD is Doctor of Medicine although both are addressed by the title of Dr. A doctor of Medicine is trained to administer medical treatments to patients who come to her/him for help. A PhD can be obtained in many different fields including liberal arts and the sciences. PhD was originally an academic degree, and it still is. Some PhD's may offer various kinds of treatment to individuals (ie, Psychologists) but most non-medical PhD's are earned for academic and not for purposes of direct treatment of presenting issues.

The MD program focuses on courses to develop the knowledge of the students who are going to become practicing medical doctors. The PhD has a similar course requirement for the respective field of study; however the PhD program requires a PhD student to also provide a significant contribution back to their respective field of study also know as a dissertation or doctoral thesis. Basically this makes two classes of doctorates, the professional doctorates (MD, DO, etc.) and the research doctorates (PhD). Bluntly put the PhD has a higher status academically than any professional doctorate (MD, DO, etc.), however professional doctorate (MD, DO, etc.) are more applied the PhD's.

 
Dr au Daktari, ni tabibu mwenye shahada ya chuko kikuu au Msomi mwenye shahada ya falsafa kwenye fani fulani. Ulimboka ni tabibu mwenye shahada ya chuo kikuu na Dr. Slaa ni msomi mwenye shahada ya falsafa ya fani fulani
 
Nimeokota na hiyo hapo chini naona nayo imetulia:

You can obtain an PhD in most any field. It just means that you have advanced education in a subject and you get the title of Dr. But you dont take care of sick people. MD is the doctor who takes care of you when you are sick or have surgery, MD means you have graduated from medical school. To go from a Masters of Scienceto MD still takes 4 years becuase it takes 4 yrs to complete medical school. You can become MD from bachelors in the same amount of time. Masters of Science is no benefit if you want to be an MD, but it is a stepping stone on the way to PhD
 
Kiba! Hivi unastahili kuwemo humu jamvini? Swali hili wanapaswa kuuliza wale jamaa wa redio imaan bana.

kwanza acha nikupe katusi kadogo.."wewe MISABURI YA PETRO",acha udini MB.W.A wewee..
Jinsi inavyoonesha wewe ndiyo haustahili kuwa hapa,akili yko inakutuma kila mtu ameanza kutumia social network akiwa chuo kikuu nini??siku hizi wapo vijana mpaka wa o-level ni member wa jf,sasa maswali kama hayo ni kawaida.
 

mkuu umenikosha kumpa ukweli. JF wapo hadi wa shule za msingi.m.j.i. n.g.a huyu
 
Dk Jakaya Kikwete ni daktari wa heshima( honorary doctor) aliyotunukiwa na University of Nairobi in 2007 baada ya kufanya jitihada kubwa za kumaliza mgogoro wa kisiasa baada ya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.ikumbukwe kwamba mgogoro huu uliwashinda wapatanishi kama Koffi Annan,Benjamin Mkapa na mama Graca Machel.Kikwete ni rais wa kwanza barani Africa kutunukiwa daraja hilo na chuo kikuu cha Nairobi.Some Tanzanians are objectively and subjectively unjust to President Kikwete.
 
:target::majani7:Happy new year Dr Kikwete
:cheer2:Happy new year Dr Slaa
:A S 100::majani7:Happy new year Dr Ulimboka,sijakusikia muda mrefu upo kweli.
:A S angry::becky::shut-mouth: Dr manyaunyau, na wenzio wa jamii yako acheni ugggiga mnafanya wageni washindwe kutuelewa watz wote kwa upuuzi wenu.
 
Yes! hapa umeweka mambo bayana! and the fact speak by itself.:becky:

Msingi wa tofauti ndo huo.
 
Mkuu nimependa hoja yako kwani ni uelewa duni tulionao watu wengi mpaka inafikia wakati tunashindwa kumheshimu Rais wetu.Chuo Kikuu cha Nairobi wamethamini mchango wa Dr Kikwete na ndiyo maana kapewa heshima hiyo ila angepewa Mkapa bila shaka kusingekuwa na maneno sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…