Naomba Kuuliza Jamani

uduzungwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2016
Posts
552
Reaction score
543
Salama wapendwa wangu.
Naomba kuuliza kitu.
Mbona hizi picha za wasanii kwenye mitandao ni weupe sana kama wazungu ila ukikutana nao live weusi kama mimi tu.

Nimewakilisha baadhi ya wanaume washamba wanaokaa mikoani.

Uduzungwa.
 
Ww ni mweusi kama huo ugoko hapo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…