Naomba kuuliza juu ya cement nzuri ya kujengea nyumba ya kuishi

Tchage95

Member
Joined
Jun 25, 2016
Posts
11
Reaction score
3
Ni cement ipi nzuri ya kufaa kujengea nyumba ya kuishi... Huku kwetu simba cement ni bei nafuu, so nkajikuta nahitaji kuitumia ila nkahofia huenda isiwe na ubora, ndo nkaona nawaulize...
 
Unafuu wa bei yake ilinifanya nihisi huenda isiwe bora eti
 
Ningekuwa wewe ningetumia Twiga Cement.
 
Mpaka sasa Tanzania cement bora ni dangote 42.5R

Pia kuna cement hiyo inaitwa binani nadhani hua imported hii ndugu yangu haina mpinzani bongo ukijengea hiyo hata kupigia tofali ni sawa na jiwe
 
Wote inaonekana hamjui cement nzuri.... Mbona mnataja tofauti tofauti!?!?
 
East Africa Hakuna cement inayozidi SIMBA 42.5 na IMARA 32.5 kama una mashaka uliza migodi yote ya dhahabu
 
Cement zote ni Bora ndo maana zinauzwa mtaani. Utofauti ni kiwango cha ubora. Kuna za kawaida na cement zenye ubora wa hali ya juu
 
Mm kama mtalamu wamaswala ya ujenzi simba cement na nyati hizi kampuni ziko vizuli sana unapo zijengea zinasha kwahalaka
 
ukiweza kupata MOSHI CEMENT hutojutia kwa walioko moshi watakua mashahidi kwa hili. hiyo simba cement haiuziki tena huku hadi wamelegeza bei ila bado hali yao ni mbaya. moshi cement bila gloves fundi atachubuka mikono tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…